Bweni la Wasichana
Swahili


Delivery Options
Please enter pincode to check delivery time.
*COD & Shipping Charges may apply on certain items.
Review final details at checkout.

LOOKING TO PLACE A BULK ORDER?CLICK HERE

About The Book

<p><span style=color: rgba(0 0 0 1)>Usiku huo nilikuwa nasimamia maandalizi ya masomo ya usiku. Nikapigiwa simu na Rose nikaipokea. Wakati naongea naye nikawa natembea taratibu kama naelekea kwenye mabweni. Ghafla nikaona taa za bweni wanalolala Buibui zinawaka na kuzima nikajua ni hitilafu katika mfumo wa umeme. Nikataka kusogea ili nithibitishe kisha nitoe taarifa mapema kwa uongozi na matengenezo yafanyike. Nilisogea mpaka mlangoni taa zikawaka moja kwa moja na kwa kuwa kulikuwa na dalili za kuwemo mwanafunzi nilitaka kujua kwanini hayupo darasani wakati wenzake wote walikuwa wana-jisomea. Nilingia nikakuta hali ya ukimya sana nikatembea mpaka karibu na mwisho wa bweni nilichokiona ni aibu kubwa! Huwezi amini Buibui waliponiona wakadondosha khanga! Wakabaki kama walivyozaliwa..</span></p><p><br></p><p>LUCAS GERVAS LUBANGO ni mwalimu wa masomo ya biashara alivesoma Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Kibaha (ECA). Elimu ya juu aliipata katika chuo kikuu cha Dares salaam akisomea Shahada ya Ualimu katika Masomo ya Biashara. Bweni la Wasichana ni riwaya yake ya kwanza na imeshika nafasi ya pili kwenye Tuzo ya Safal Cornel.</p>
Piracy-free
Piracy-free
Assured Quality
Assured Quality
Secure Transactions
Secure Transactions
Fast Delivery
Fast Delivery
Sustainably Printed
Sustainably Printed
downArrow

Details