Hofu Gizani

About The Book

<p>Little Fears is a book series about the various concerns that children can have. Sometimes minor harms may grow into big worries if they are ignored. Fortunately there are fun ways and gentle tools to handle such situations often through play.</p><p></p><p>Elliot has a new baby sister. He also has a room of his own now where he can build castles out of blocks as big as he likes.</p><p>But there is one thing that worries Elliot. In his new room he can't fall asleep as easily as he did when he slept closer to Mom and Dad. On top of that a monster is nesting under his bed. It growls every single night even though no one believes Elliot.</p><p>Finally with Dad's help Elliot learns the cause of the strange noise and he can sleep peacefully again.</p><p></p><p>---</p><p></p><p><span style=color: rgba(0 0 0 1)>Elliot ana dada mdogo mpya. Pia sasa ana chumba chake mwenyewe ambapo anaweza kujenga majumba kubwa kwa kutumia vitalu jinzi anavyopenda. </span></p><p><span style=color: rgba(0 0 0 1)>Lakini kuna jambo moja ambalo linamtia wasiwasi. Katika chumba chake kipya hawezi kulala kwa urahisi kama alivyokuwa akilala karibu na Mama na Baba. Zaidi ya hayo kuna mnyama anayejificha chini ya kitanda chake. Huyo mnyama ananguruma kila usiku ingawa hakuna anayemwamini Elliot. </span></p><p><span style=color: rgba(0 0 0 1)>Hatimaye kwa usaidizi wa Baba Elliot anajifunza chanzo cha sauti hiyo ya ajabu na anaweza kulala kwa amani tena.</span></p><p></p>
Piracy-free
Piracy-free
Assured Quality
Assured Quality
Secure Transactions
Secure Transactions
Delivery Options
Please enter pincode to check delivery time.
*COD & Shipping Charges may apply on certain items.
Review final details at checkout.
downArrow

Details


LOOKING TO PLACE A BULK ORDER?CLICK HERE