<p>Bunduki yake Hassan Ngunda mkuu wa walinda wanyamapori katika mbuga ya Tsavo Magharibi imetoweka kiajabu kutoka chumba chake cha kulala. Wakati huo huo mwanawe Fadhili haonekani. Ni kipi kimetokea? Msako mkali unaanzishwa na punde si punde unawaelekeza polisi kwenye 'mwizi' wa bunduki pamoja na genge hatari la wawindaji haramu.</p>
Piracy-free
Assured Quality
Secure Transactions
Delivery Options
Please enter pincode to check delivery time.
*COD & Shipping Charges may apply on certain items.