<p>Kitabu hiki ni matokeo ya somo tulio kuwa tunajifunza katika semina ya neno la Mungu . Roho mtakafu ameweka msukumo ndani yangu nikushirikishe somo hili kwa njia ya kitabu hiki.</p><p> </p><p>Ukiwa umesoma mpaka sentensi hii basi umekuwa sehemu ya wale walio teuliwa kuijua siri ya maombi kupitia kitabu hiki nakushi sana ukisoma kitabu hiki.</p><p> </p><p>Ndani ya kitabu hiki utanifunza mambo mengiikiwemo kupata majibu ya maswali ambayo waamini wengi hujiuliza kuhusu maombi wamwombayo Mubgu kama:</p><p>kama<strong><u>:</u><em></em></strong></p><ol><li><strong><em>kwa nini tunaomba Mungu ikiwa Mungu anatupenda?.</em></strong></li><li><strong><em>Je Maombi hujibiwa na Mungu?.</em></strong></li><li><strong><em>Nani anapaswa kuwa mwombaji?.</em></strong></li></ol><p><strong><em>4. Je naweza kuomba chochote nikapewa?.</em></strong></p><p>Haya ni badhi tu ya maswali unayoweza kupata majibu yake ndani ya kitabu hiki. Kuna mengi sana utajifunza kuhusu imani ya kikristo.</p><p> </p><p>Karibu tujifunze pamoja kusudi upate kuijua siri ya maombi ukue kiroho.</p><p> </p>
Piracy-free
Assured Quality
Secure Transactions
Delivery Options
Please enter pincode to check delivery time.
*COD & Shipping Charges may apply on certain items.