<p>Zito anausifu ujinga. Darasani imekuwa ni kushikilia nikia kila kunapofanywa mtihani. Sikiza anamwainbia rafiki yake Sadiki. Ukiwa daktari utanihudumia nikiwa mgonjwa. Ukiwa mwalimu utafundisha wanangu na ukiwa wakili utanisimamia katika kesi zangu... Katika kazi yoyote ile utakayoajiriwa kufanya utakuwa ukitutumikia sisi wajinga... <span style=color: rgba(0 0 0 1)>Lakini siku ya kupata funzo kuwa ujinga haulipi imo njiani....</span></p>
Piracy-free
Assured Quality
Secure Transactions
Delivery Options
Please enter pincode to check delivery time.
*COD & Shipping Charges may apply on certain items.