<p><strong>Mioyo Iliyojeruhiwa na Mabenchi Tupu Kanisani</strong></p><p></p><p class=ql-align-justify><span style=color: rgba(0 0 0 1)>·</span>&nbsp;Ni kipi husababisha watu kuyahama makanisa yao?</p><p class=ql-align-justify><span style=color: rgba(0 0 0 1)>·</span>&nbsp;Je ni haki wakati wote kulihama kanisa?</p><p class=ql-align-justify><span style=color: rgba(0 0 0 1)>·</span>&nbsp;Je mipasuko yote kanisani ni mibaya?</p><p class=ql-align-justify><span style=color: rgba(0 0 0 1)>·</span>&nbsp;Utahamaje kanisa wakati kuhama inaonekana ni kitu cha lazima?</p><p class=ql-align-justify><span style=color: rgba(0 0 0 1)>·</span>&nbsp;Je utatibu namna gani kutoka mhemuko na maumivu ya kiroho ambayo kutokana na migawanyiko ya kuchukiza na&nbsp;isiyopendeza?</p><p class=ql-align-justify>&nbsp;</p><p class=ql-align-justify>Ingawa&nbsp;haya sio maswali rahisi kuyajibu uhakika wa mgawanyiko na mpasuko wa Makanisa kwenye makanisa uko bayana. Majaribio ya somo hili&nbsp;ni kukuchunguza jambo hili kwa upole na kutoa baadhi ya Mwongozo wa Kibiblia&nbsp;wa kulishughulika nakupitia hili mapambano ya kawaida tunayohisi katika kanisa la siku za leo.</p><p>&nbsp;</p>